moja
1
wili
2
tatu
3
nne
4
tano
5
sita
6
saba
7
nane
8
tisa
9
kumi
10
kumi na -moja
11
kumi na -wili
12
kumi na -tatu
13
kumi na -nne
14
kumi na -tano
15
kumi na sita
16
kumi na saba
17
kumi na -nane
18
kumi na tisa
19
ishirini
20
Mikate miwili
Two loaves
Miezi sita
Six months
Wanyama wakubwa wanne
Four large animals
Mpishi hodari mmoja
One able cook